Mwanzo wa Ukurasa
Kuhusu Ilala
Uongozi
Kamati za Halmashauri
Majukumu ya Halmashauri
Ofisi za Kata
Vitengo vya Mkurugenzi
Idara Mbalimbali
Picha & Matukio
Mijadala
Tafuta Zaidi
Wasiliana Nasi
Fomu ya Kuingia
Kwa wafanyakazi wa Manispaa ya Ilala tu
Username

Password

Remember me
Password Reminder
No account yet? Create one
 
 
 
Karibu Halmashauri ya Manispaa ya Ilala

    Dira: Kuwa na Jamii yenye maisha bora ifikapo 2025

  Dhima:Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ina Jukum la kufanikisha dira ya kuwa na maisha bora kwa  wakazi wake kwa kuhakikisha inatoa  huduma za kijamii na kiuchumi.


    

Mstahiki Meya Jerry Silaa


Malengo Makuu ya Halmashauri

Halmashauri imeainisha malengo makuu yafuatayo katika kufikia dhamira yake;
    >Huduma ya UKIMWI kuboreshwa na maambukizi mapya kupunguzwa.
    >Kuwa na huduma bora zilizo imarishwa
    >Kuongeza na kuimarisha miundombinu na huduma za kiuchumi zenye ubora
    >Kujenga uwezo kwa ustawi wa Jamii na Jinsia kwa ujumla
    >Kuimarisha na Kujiandaa na maafa yanayotokea na
    >Kuimarisha Utawala bora na mapambano dhidi ya rushwa

Chimbuko la Halmashauri
Halmashauri ya Manispaa ya Ilala ilizinduliwa tarehe 1 Februari,2000 kupitia Governmnet Gazzette,Notice No.2 ya tarehe 21st Januari,2000 kufuatia kukamilika kwa marekebisho yaliounda upya Halmashauri nn(4) za Mkoa wa Dar es Salaam ambazo ni Illala,Temeke,Kinondoni na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam



Taarifa ya Utekelezaji Ilani 2005-2010


Muhtasari wa utekelezaji  miradi kwa kipindi cha mwaka 2005 hadi 2010 uko kama ifuatavyo:- 
·          Shule za sekondari zilizokuwepo mwaka 2005 ni 25, shule zilizopo kwa mwaka 2010 ni 92.  Ongezeko la shule 67 sawa na 268%.
·          Idadi ya wanafunzi waliochaguliwa kujiunga shule za sekondari mwaka 2005 walikuwa 11,020 na mwaka 2010 ni 42,040, ongezeko la wanafunzi ni 31,020 sawa na  283%.
·          Idadi ya waalimu wa sekondari waliokuwepo mwaka 2005 ni 880 na mwaka 2010 ni 1700.
Ongezeko la waalimu 820  sawa na 93%.
·          Jumla ya sekondari za serikali ni 49 na za binafsi ni 43. Hivyo jumla ya shule zote za sekondari ni 92.
          Idadi ya wanafunzi wa sekondari wanaosoma shule za serikali ni 42,240 na shule za binafsi ni 12,035,  jumla ni wanafunzi 54,275.

Read more...
Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania

Makala maalumu ya kusheherekea miaka 50 ya Tanzania.
Je wajua Chimbuko la Mkoa wa Dar Es Salaam/
Je Wajua asili ya Dar Es Salaam?
Ungana na Mtaalamu wa Kiswahili na Asili ya Dar Es Salaam huyu si mwingine bali ni
Shani Kitogo .....

 
   
     

 
"

© 2011 Halmashauri ya Manispaa ya Ilala.Powered By Digitalbrain Install Mambo web hosting